Nikiwa na baadhi ya watumiaji wa madawa ya kulevya walioacha tabia hiyo huko Temeke.
Leo nilitembelea kituo cha kusaidia watumiaji wa madawa ya kulevya kuanza tabia hiyo. Kituo hiki kipo katika Wilaya ya Temeke na kinaendeshwa na taasisi ya Medicin du Mode (MDM) ya Ufaransa.
Katika kituo hiki vijana ambao waliojitambua na kuamua kuacha kutumia madawa ya kulevya hupata huduma mbalimbali za afya, kijamii na kisaikolojia.
Nawapongeza MDM na watumishi wote wa afya ambao wamekuwa mstari wa mbele katika kuwarudisha watumiaji wa madawa ya kulevya kwenye mstari.
Ni jambo la kufurahisha sana, kuona vijana wanajitokeza kusaidiwa..na hao hao ndio wangekuwa msaada kuonesha madawa yanatoka wapi.
LikeLike