Nimeamua kuanzisha blog mpya. Blog yangu ya zamani “Drfaustine.blogspot.com” imepumzishwa kwa muda.
Nitakuwa nikitumia blogu hii kuwapasha habari ya nini kinachoendelea kwenye kampeni yangu na pia mtazamo wangu kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini Tanzania na duniani kwa ujumla. Tuzidi kuwa pamoja.
Faustine
Blog mpya na mawazo mapya
This entry was posted in Uncategorized. Bookmark the permalink.
Goodtimes Doc! Let me be the first to welcome you back to the wired world of information. – GN
LikeLike
Hi Daktari
Hongera sana for the achievements. You are a fighter now I know
LikeLike