Picha tatu za juu ni za NHC na tatu za chini ni za NSSF.
Juzi na jana nilipata fursa ya kutembelea miradi ya nyumba zinazojengwa na shirika la nyumba Tanzania (NHC) na NSSF jimboni kwangu Kigamboni.
NHC ina mpango wa kujenga nyumba zipatazo 200 na NSSF ina mpango wa kujenga nyumba 300 katika awamu kwa kwanza. Nyumba hizi ni za aina tofauti na zina vyumba kati ya 2-4.
Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko toka kwa wananchi kuwa nyumba za bei nafuu (affordable houses) bado si rahisi kwa mwananchi wa kipato cha kati na chini. Bei ya nyumba mpya za NHC hivi karibuni zimekuwa ni zaidi ya TSh 100 millioni kila moja. Bei hii inalalamikiwa kuwa ni kubwa sana kwa mlalahoi.
Katika mradi huu wa Kigamboni, NHC ina mpango wa kuuza nyumba zake kati ya TSh 30-40 millioni kutegemea na ukubwa. Sikuweza kupata bei za nyumba za NSSF.
Pamoja na miradi hii mizuri itakayopendezesha Jimbo la Kigamboni, nyumba hizi zinaweza kununuliwa kwa matajiri wachache kutokana na bei kuwa kubwa. Kuna umuhimu wa kuwawezesha wananchi wenye kipato cha chini na kati kupata mikopo ya muda mrefu itakayowawezesha kununua nyumba hizi.
Kwa watanzania walio nje ya nchi, hii ni fursa nzuri ya kununua nyumba, itumieni.
Where can we get the forms and is it possible to see the house
LikeLike
Nyumba inaweza ouzo na kwa kuwasiliana na NSSF au NHC. Ukihitaji kufanya hivyo nijulishe.
Fomu za uuzaji wa nyumba bado kutolewa. Zikiwa tayari nitawajulisha.
LikeLike
Mh.Naulizia form za nyumba hasa za NHC kama zimeshaanza kutolewa,na kama tayari nazipataje.Nitashukuru sana na kazi njema.
LikeLike
Bado NHC ipo kwenye mchakato wa ujenzi wa nyumba hizo. Hazipo sokoni kwa sasa. Nitakujulisha wakianza kuuza.
LikeLike
Ahsante kwa kunijibu.Na kwakuwa kunahitajika muda kuiandaa/kuitafuta hiyo fedha ni vizuri kama utatufahamisha mapema zaidi(aprox 8months – 1 year) bei ya nyumba zenyewe kabla hawajaanza kutoa form.Ki ujumla nakushukuru saana.
LikeLike
Naomba maelekezo juu ya hizo nyumba
LikeLike
Where can we get the forms and is it possible to see the house
LikeLike
Bado kuanza kujengwa. Nitawajulisha
LikeLike
Nataka nunua nyumba NHC kigamboni.
Utalatibu ni upi? Naishi London na ni mtanzania. Mnanisaifiaje?
+447415375483
LikeLike
je tutapataje form ?
LikeLike
Fomu za uuzaji wa nyumba bado kutolewa. Zikiwa tayari nitawajulisha.
LikeLike
nasikia nyumba wameanza kuuza ni mawasiliano yepi nafanya kupata nami fomu au kuweza nunua nyumba huko kibada nataka nyumba za nssf tafadhari nipo nje ya nchi
LikeLike
Tutashukuru sana tukipewa taarifa mapema nasi tununue hizo nyumba ama sivyo wachache watanunua na kuzipangisha kwa bei wanayoitaka au kuziuza ahsante
LikeLike
When can we see the houses
LikeLike
Faustine, landscaping? $62,500 ? in Tanzania, Kigamboni and incomplete house inventory? I hope this is not another housing bubble in Tanzania. They need to invest in landscaping and having home owners association (HOA) declaration law pass in Bunge to control housing and neighborhood. If the government is willing to invest in people retirement monies like that I think they have to form a bill that will help to protect people investment.HOA helps to maintain the landscaping, security, and others things that will keep up with cost associate with running the neighborhood…..
LikeLike
Mh. Tufahamisheni na ss tu nunue
LikeLike
Habari Dr Faustine, mimi naomba taarifa kuhusu Kigamboni, nina kibanda changu nilijenga siku nyingi katika eneo langu huko Kigamboni. Bahati mbaya wakati wa upimaji wa viwanja vya Kibada eneo langu halikubahatika kupimwa na kuingia kwenye ramani, yaani ni barabara tu ndio inayotenganisha eneo langu na eneo la lilipoishia viwanja vilivyopimwa vya Kibada.
Sasa baadae nikasikia kuwa serikali imezuia uendelezaji wa maeneo huko Kigamboni kwa hiyo nikaacha kujenga wala kuliendeleza eneo langu ambalo nilikuwa na mpango wa kulipima na kujenga nyumba ya kuishi na watoto wangu. Nina maswali yafuatayo:-
1. Je hiyo amri ya kusitisha uendelezaji wa maeneo bado ipo?
2. Je ninaweza kuomba kupimiwa eneo langu nikalipia gharama?
3. Na je serikali ina mpango gani kwa sie ambao tumekaa tunasubiri kuhusu maeneo yetu?
Kwa mfano mimi niko masomoni na nilitegemea nijenge hapo nipate pa kuishi na watoto wangu, sasa kutokana na usitishwaji huo sijafanya lolote na laiti ningelipimiwa au kupima eneo langu kipindi cha miaka 2 iliyopita nikajenga, gharama zake za ujenzi zisingekuwa kubwa kama ilivyo sasa, yaani ningeweza kuafford kujenga; sasa gharama za ujenzi zimeongezeka, je serikali ina mpango wowote wa kutulipa fidia kucompasate hii different cost inayotokana na muda?
4. Hapo naona wenye uwezo (mashirika) wameruhusiwa kujenga; naomba unipe ufafanuzi ni maeneo yapi yamekatazwa na yepi yameruhusiwa kujengwa na kuendelezwa?
5. Na hilo eneo langu ambalo nimekatwa kuliendeleza nilifanye nini sasa wakati kimfaacho mtu ni chake? Litanisaidia vipi hilo eneo kipindi hiki? Maana hilo eneo langu lilikuwa sehemu ya shamba langu nikijilimia mboga mboga miaka mingi nikisitiri na wanangu.
Ni mimi muathirika wa mambo yanayotukia Kigamboni
Mrs. S Feruz
LikeLike
hii nikointrested na nyumba hizi naomba uni inform mki anza ku uzza
LikeLike
Will do
LikeLike
Tunaomba utupatie utaribu wa jinsi gani tutapata hizo fomu na wakati gani?
LikeLike
Bado! Ujenzi utaanza karibuni. Zikikamilika nitkujulisha.
LikeLike
nami nataka form jamani Faustine,tafadhali usiache kutujuza mara zitakapotoka
LikeLike
is it possible to view the inside look of the house and the finishing.
LikeLike
Mh. Napenda kujua mchakato mzima wa kununua hizi nyumba, am ver interested! Wasiwasi wangu ni watu tusio na netwk tunaweza stuka na kukuta zimeisha…help me to get all tha info as soon as possible zikianza kuunzwa.
Asante
LikeLike
Wanatarajia kuanza kuuza Jumatano hii. Fuatilia kupitia hapa au http://www.nhctz.com
LikeLike
gharama zake ni ngapi?
LikeLike
fomu za hizo nyumba zinatolewa wapi ili tuweze kujaza na naomba kujua hizo nyumba gharama zake ni shilingi ngapi.
LikeLike
Mimi naombakujua jisiyamaripo ya nyumba hizo Mlimakala-818041616749 nataka nyumba za NSSF
LikeLike
How can i get one of NSSF? Please inform me as soon as possible so that i can get myself prepared!
LikeLike
Tafadhari naomba unijulishe kama mna nyumba za kupanga na gharama zake zikoje? kwa mikoa ya Dar na Moro
LikeLike
naomba nijue bei za chini zaidi kati za nyumba hizo za kibada
LikeLike
Jamani nyumba zote za NHC kibada zimeshauzwa! Form ziko katika website ya nhc. Dot.com alieko karibu atakuelekeza
LikeLike
Nahitaji kupata ramani ya nyumba ya bei nafuu
LikeLike
i am interested can you please contact me. thanks
LikeLike
HBR? FORM ZIMETOKA KWA AJILI YA KUNUNUA NYUMBA ZA NHC?
LikeLike
Nyumba za awali zilishauzwa zote. Wanajenga mpya kwa sasa. Nitawajulisha zikiwa tayari.
LikeLike
habari yako ndugu faustine mimi nauliza je hawazipangishi hizi nyumba?na kama wanapangisha ni sh ngapi?maana tusioweza kununua tupange.
LikeLike
Kwa bahati mbaya hawapangishi. Wamezijenga kwa lengo la kuuza. Siku njema.
LikeLike
Ahsante Mheshimiwa kwa taarifa nzuri. Naomba kujua mpaka leo bado hazijaanza kuuzwa?
LikeLike
Asante! Nyumba zote zilishauzwa. Ila kwa sasa wanataka kuanza ujenzi wa awamu ya pili. Nitawajulisha wakianza kuuza.
LikeLike
Ahsante sana Mheshimiwa kwa taarifa.
Kazi Njema;
LikeLike
Ahsante sana Mheshimiwa!
LikeLike
Hello sir, I would be very please if you can tell me when you are going to distribute the forms.
i’m very much interested to get house and would like to know rates of the house and procedure as well.Thanx in advance.
LikeLike
wanaanza lini tena kuuza ?
LikeLike
sir, prices are too high for middle class family to purchase only business person can afford i hope so.But person who is earning less then 500,000/= per month do you think they can afford this houses? I don’t think so.
please work out again these house prices so, middle class family can afford to buy specially for Tanzanian Citizen. Please do see into this matter and let us know. Thank you.
regads from local citizen Prakash.
LikeLike
Dear Faustine,
Ahsante sana kwa taarifa nzuri na muhimu.
Tafadhali endelea kutujuza.
Mariah/TTB
===
LikeLike
mimi Ally Nyau wa Arusha naombeni form zenu zikiwa tayari mnitumie .
LikeLike
Habari.za kazi wadungu.ninashangazwa sana kuona number zinakuwa NA bei kuliko ninapo ishi hivi sasa’ mawazo ni manzuri kabisa yakujenga katika hali ya mpangilio.ninamanisha kila mtu kujulikana anaishi wapi Hayo ni mawazo manzuri sana ILA bei ndiyo kubwa tens mno from Lau.
LikeLike
Mimi nimesomea umeme wa majumbani VETA Chang’ombe na kupata cheti cha daraja la kwanza. nitawezaje kujiunga nanyi?
contact zangu ni 0657300144
LikeLike
kweli nyumba ninzur nimependa san naweza kupata mawasiliano namba yangu 0762051991 /0715423451 nataka nyumba namba zangu izo pamoja na mkopo jamani naomben sana???????
LikeLike
Habari ..jaman nitapata je form za kununua hizo nyumba naomba nijibu
LikeLike
naomba kujua bei ya nyumba yenye vyumba vi4. na vigezo au mashart.
LikeLike
habari za kazi….nyumba ni nzuri na nimezipenda sana ,nianweza kuzipata kwa sasa au mwaka huu?……
LikeLike
Habari. Naomba kufahamu utaratibu wa ujenzi mpya kama mna mpango wa kujenga karatu au arusha eneo gani na bei zake zitakuwaje kwa maisha ya mtanzania wa kawaida. Mag
LikeLike